Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini…

  • February 13, 2018

Upatikanaji wa maji safi na salama katika kata ya MALOLO,Halmashauri ya  Manispaa ya TABORA sasa imeimarika baada ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini TABORA-TUWASA kufikisha huduma hiyo.

Diwani wa kata ya MALOLO,CORNEL NG’WANDU amesema kata hiyo ilikuwa haina huduma bora ya maji hali iliyowalazimu wananchi kutumia maji ya visima ambayo siyo safi na salama na kwamba TUWASA imesikia kilio chao na kutatua kero hiyo.

Amesema kwa visima ambavyo vilivyokuwa vimechimbwa, kwa sasa vimejengewa vizuri ili kuendelea kuyatunza maji hayo kwa ajili ya matumizi mengine.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Karani adai nyoka alikula mamilioni ya pesa Nigeria
Shambulio la risasi laua 17 shuleni Marekani

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise