Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
International

Marekani yapunguza makali kwa Wakimbizi

  • January 30, 2018

Maafisa nchini Marekani wamesema marufuku iliyopigwa juu ya Wakimbizi kutoka nchi 11, iliyokuwa ikichukuliwa kuwa ni hatari sasa imeondolewa. Hata hivyo watachunguzwa kwa umakini.

Waziri wa Usalama wa Ndani nchini humo Kirstjen Nielsen amesema tathmini ya hatari itachukuliwa kwa kila mkimbizi kabla ya kumkubalia kuingia nchini humo.

Oktoba mwaka jana, Utawala wa Rais Donald Trump ulipiga marufuku wakimbizi kutoka mataifa 10 yenye asilimia kubwa ya Waislamu na wa kutoka Korea Kaskazini.

Ni wakimbizi 23 tu kutoka katika nchi hizo ndio wameweza kuingia Marekani toka wakati huo, baada ya Jaji nchini humo kwa kiasi fulani kuweza kuizuia amri hiyo iliyotolewa na serikali.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

NAIROBI: Odinga atarajiwa kuapishwa leo Uhuru Park.
Daniel Sturridge atimka Liverpool

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise