Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Sports

Masoud Djuma azungumzia hali ya Manula na Bocco kucheza…

  • February 20, 2018

Kocha Msaidizi wa Klabu ya Simba, Masoud Djuma amezungumzia hali ya mlindalango wao Aishi Manula kuwa yupo vizuri na atakuwa sehemu ya wachezaji watakao ingia uwanjani hii leo kuwavaa Gendarmerie  mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika.

Aishi yupo vizuri alipata changamoto hiyo kidogo jana mazoezini ila anaendelea vizuri Watanzania tu watuombee na atacheza mechi.

Timu nzima ipo tayari na wote watakuwepo rabda nahodha wao John Bocco ndo hatakuwepo katika kupambana kwenye mechi ya leo tunawaomba watu watuombee tunajua siyo kazi nyepesi.

 

Katika mchezo wa kwanza uliyopigwa jijini Dar es Salaam Simba SC ilichomoza na ushindi wa mabao 4 – 0 dhidi ya Gendarmerie .

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Bill Nas Afunguka kuhusu ukimya katika game
Serikali imepiga marufuku biashara,mahubiri na siasa ndani ya mabasi.

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise