Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Matumizi ya fedha za kigeni hayasababishi kushuka kwa thamani…

  • April 16, 2018

Serikali imesema kuwa matumizi ya fedha za kigeni hayasababishi kushuka au kudorola kwa thamani ya fedha yoyote ile duniani.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango,ASHANTU KIJAZI amesema yapo mambo muhimu yanayosababisha misukosuko ya thamani ya fedha ya Taifa lolote ikiwemo mfumuko wa bei.

Naibu Waziri KIJAZI alikuwa akijibu swali la mbunge viti maalumu,DEVOTHA MINJA aliyetaka kujua ni lini serikali itapitia upya sheria zake na kuona uwezekano wa kulinda shilingi kama zilivyo nchi za KENYA na AFRIKA KUSINI.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Watu 7 wafariki Dar Es Salaam kufuatia mvua kali inayonyesha.
TABORA: Wananchi walalamikia zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya Taifa.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise