Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Mhe. Tundu Lissu awatoa hofu Watanzania

  • December 29, 2017

Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu amewatoa hofu Watanzania juu ya afya yake kwa kusema kuwa hali yake inaendelea kuimarika.

Akielezea hali yake, Mhe. Tundu Lissu amesema kwa sasa anauwezo wa kukaa bila kuegemea kwenye kitu chochote, hali ambayo awali alikuwa anashindwa kufanya hivyo.

“Ninawashukuru kwa sala na maombi yenu. Sasa ninaweza kukaa bila ya kuegemea kitu.“ameandika Mhe. Lissu kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Juzi Jumanne Desemba 26, 2017 Mhe. Lissu alisimama kwa mara ya kwanza kwa msaada wa Madaktari baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana mnamo mwezi Septemba 7, 2017 mjini Dodoma.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Rais Trump aishutumu China kwa kukiuka vikwazo vya UN dhidi ya Korea Kaskazini
Wananchi mkoani TABORA watakiwa kufanya kazi kwa bidii kwa mwaka mpya 2018.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise