Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Sports

Michael Carrick atangaza kutundika daluga Manchester United

  • March 13, 2018

Kiungo wa Manchester United, Michael Carrick ametangaza rasmi kustaafu soka mwishoni mwa msimu huu.

Carrick mwenye umri wa miaka 36, amecheza jumla ya michezo  463 ndani ya United toka ajiunge akitokea Tottenham kwa pauni milioni 18 mwaka 2006 na kufanikiwa kushinda mataji 34 nchini Uingereza.

Kiungo huyo amesema kuwa unafika muda mwili wako unakuambia ‘stop’, na hivyo ndivyo ilivyo kwangu kwa sasa.

Mwezi Januari meneja wa timu hiyo, Jose Mourinho  amesikika akisema kuwa angelijiskia furaha endapo Carrick ataamua kusalia ndani ya  klabu

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Novichok: Mambo muhimu kuhusu sumu kali ya Urusi iliyotumiwa kumshambulia jasusi
Lil Wayne na Birdman walivyokutana Club

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise