Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Mtu mmoja amekutwa amekufa katika nyumba ya kulala wageni…

  • October 27, 2017

Mtu mmoja amekutwa amekufa katika nyumba ya kulala wageni katika wilaya ya URAMBO mkoani TABORA.

Kamanda wa polisi mkoa wa TABORA, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa polisi WILBROAD MUTAFUNGWA amesema tukio hilo lilitokea usiku wa Jumatano wiki hii.

Katika tukio jingine Kamanda MUTAFUNGWA amesema jeshi la polisi limewakamata watuhumiwa 11 wa matukio mbali mbali mbali ya uhalifu yakiwemo ya unyang’anyi wa kutumia silaha.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake pia amesema watu wasiojulikana wamesalimisha bunduki SABA na magazine moja katika kijiji MWAMALUGU, kata ya KILUMBI wilayani SIKONGE.

Kamanda wa polisi mkoa wa TABORA amesema kuwa hali ya ulinzi na usalama katika mkoa imeendelea kuimarika kutokana na jitihada za jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi katika kupambana na vitendo vya uhalifu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Burundi yajiondoa rasmi katika mahakama ya ICC.
Baadhi ya wanasiasa katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA wamesema uchaguzi wa marudio nchini KENYA siyo huru na haki kutokana kutoshirikisha vyama vingine vya siasa na wananchi wote.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise