Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Mwanasoka wa zamani GEORGE OPONG WEAH anaongoza katika matokeo…

  • October 13, 2017
George Weah.

Takwimu kutoka Tume ya Uchaguzi  ya LIBERIA -NEC zinaonyesha kuwa WEAH yupo mbele kwa majimbo 11 katiKa ya majimbo 15 ingawa kura zote hazijahesabiwa.

Mgombea anayefuatia ni Makamu wa Rais JOSEPH BOAKAI,ambaye anaongoza katika jimbo moja na mengine yaliyobaki ameshika nafasi ya pili.

Mshindi katika kinyang’anyiro hicho analazimika kujipatia asilimi 50 ya kura zote ili aweze kutangazwa mshindi na kama hakuna mgombea atakayefikisha kiwango hicho,uchaguzi wa marudio unapaswa kufanyika mwezi ujao.

Atakayetangazwa mshindi anachukua nafasi ya mwanamke wa kwanza Afrika kuwa Rais Bi ELLEN JOHNSON SIRLEAF anayemaliza muda wake kwa mjibu wa katiba ya Liberia na ambaye pia ni mshindi tuzo ya Nobel.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya dampo ya KARIAKOO katika Manispaa ya TABORA kutakiwa kuacha kuchoma moto dampo.
Waziri wa Ulinzi wa SOMALIA ameamua kujiuzulu wakati wa mkutano wa wiki wa baraza la mawaziri.

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise