Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
International

KENYA: Rais UHURU KENYATTA leo ameapishwa kuiongoza KENYA kwa…

  • November 28, 2017November 28, 2017

Jaji Mkuu wa KENYA,DAVID MARAGA amemwapisha UHURU KENYATTA kuwa Rais katika sherehe kubwa iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa MOI KASARANI mjini NAIROBI.

Sherehe za kuapishwa Rais UHURU zimehudhuriwa na viongozi wa mataifa mbali mbali akiwemo Makamu wa Rais wa TANZANIA,SAMIA SULUHU HASSAN aliyemwakilisha Rais Daktari JOHN POMBE MAGUFULI.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA na Waziri Mkuu wa zamani,EDWARD LOWASSA pia amehudhuhuria sherehe hizo.

Kabla ya kuapishwa kwa Rais KENYATTA,usalama uliimarishwa katika mji mkuu wa KENYA- NAIROBI.

Uchaguzi wa mwezi Agosti uliompa ushindi Rais KENYATTA ulifutwa na Mahakama ya Juu ya nchi hiyo kutokana na kile kilitajwa kuwa uchaguzi usio huru na haki.

Marudio ya uchaguzi wa Oktoba 26 ulimpatia UHURU KENYATTA ushindi asilimia 98 ya kura huku waliojitokeza kushiriki katika shughuli hiyo wakiwa asilimia 39.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali imewataka vijana nchini kutatua matatizo yanayowakabili ikiwemo ajira kwa kupata ujuzi utakaowasaidia kujiajiri na kupunguza tatizo hilo nchini.
Korea Kaskazini: Tunaweza kushambulia eneo lolote Marekani.

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise