Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
International

Ndovu wauaji wauawa kwa kupigwa risasi Msumbuji

  • February 19, 2018

Polisi wamewaua kwa kuwapiga risasi ndovu kwenye mkoa ulio kusini mwa Msumbiji wa Gaza, baada ya ndovu hao kumuua mwanamke mmoja na kumjeruhi mwingine.

“Polisi hawakuwa na lingine ila kuwaua ndovu hao kwa sababu walikuwa ni tatizo, na wangehatarisha maisha ya watu zaidi,” alisema mkurugenzi wa masuala ya mazingira Juliana Mwito.

Ndovu hao walikuwa wamevuka kutoka mbuga ya Afrika Kusini ya Kruger ambayo ni maarufu kwa watalii.

“Ndovu hao pia waliharibu mimea mingi na kuleta madhara kwa tegemeo a watu wanaoishi vijijini,” Bi Mwito alisema.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mh. Zitto kufanya ziara Kata zinazoongozwa na ACT Wazalendo.
Msafara wa Kabila wahusika kwenye ajali mbili za barabarani kwa wiki moja

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise