Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

NICKI MINAJ AKANUSHA KUDAI YEYE NI CHANZO CHA RAPPERS…

  • October 18, 2017October 18, 2017
Niki Minaj

Nicki Minaj amekanusha habari zilizoandikwa kwenye blogs mbalimbali kuwa alisema kuwa yeye ndiye aliyewafanya rappers wa kike waende mainstream.

Amevilaumu vyombo vya habari kwa kuandika vitu vya kuvuta wasomaji huku vikipotosha ukweli. Minaj amesema kama itatokea mtu amepata video au sauti akitoa kauli hiyo atampa zawadi ya dola milioni 1. Ameeleza kuwa alichosea kwenye mahojiano ya XXL ni kuwa alikuja katika kipindi ambacho tasnia ilikuwa imewasusa rappers wa kike na hivyo kufanya kwake vizuri kuliamsha tena attention ya wadau kwa wanawake wanaofanya hip hop.

Kupitia Instagram, Nicki ameandika:

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

PINK: MARY J BLIGE ALIKATAA KUFANYA NAMI COLLABO!
JACQUELINE WOLPER AMUUMIZA ROHO SARAH KWA KUIPA PROMO ‘SHULALA’ YA HARMONIZE.

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise