Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Nishati ya MAFUTA yapatikana katika bonde la mto MANONGA…

  • October 4, 2017October 4, 2017
Pipe la mafuta.

Tafiti za awali zinaonesha kuwa Bonde la mto MANONGA katika wilaya ya IGUNGA mkoani TABORA lina uwezekano wa kupatikana nishati ya mafuta.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Daktari Mhandisi JULIANA PALLANGYO amebainisha hayo kwenye mkutano wa hadhara katika kata ya KINUNGU wilayani IGUNGA.

Mhandisi JULIANA ametoa wito kwa wananchi wa eneo la bonde la mto MANONGA kushirikiana na watalamu mbalimbali watakaokwenda katika vijiji hivyo kufuatilia upatikanaji wa nishati ya mafuta katika eneo hilo.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mtu mmoja amekufa baada ya kugongwa na kiberenge katika mtaa wa MKONKOLE,kata ya TAMBUKARELI mjini TABORA.
Walimu mkoani TABORA wameiomba serikali kutatua matatizo yanayowakabili katika taaluma yao.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise