Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Pochettino: Paulo Gazzaniga anajua.

  • November 6, 2017
Meneja wa Spurs Mauricio Pochettino

Meneja wa klabu ya Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino amemmwagia sifa mlinda lango wa timu hiyo raia wa Argentina, Paulo Gazzaniga baada ya kuchomoza na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Crystal Palace.

Spurs ikiwa nyumbani Uwanja wa Wembley ilichomoza na ushindi huo kupitia bao safi la mshambuliaji wa kimataifa wa Korea Kusini, Son Heung-Min dakika 64 ya mchezo na kupelekea matokeo kumalizika kwa ushindi huo.

Kufuatia kiwango bora kilichoonyeshwa na mlindalango wa Spurs, Paulo Gazzaniga  katika harakati za kuokoa michomo kadhaa iliyokuwa ikilenga lango lake meneja wa kikosi hicho, Pochettino amesema nikiwango bora kabi kilichoonyeshwa na kipa wake.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Wimbo wa Reputation wa Msanii Taylor Swift waongoza kwa Mauzo ya awali.
Mh. Zitto aripoti polisi, apigwa kalenda

Related articles

Simba Yamsajili Adam Salamba.
Roman Abrahamovich ahamia Israel.
Kipa wa Liverpool atishiwa maisha.
Haji Manara, Simba na Yanga…
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa…
Wachezaji wanajua umuhimu wa mechi…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise