Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Entertainment

Rihanna alizwa na Boxing Day

  • December 27, 2017

Inauma sana unapo ondokewa na mtu wako wa karibu. Rihanna amejikuta katika kipindi kigumu baada ya furaha ya kusherehekea sikukuu ya Christmas Jumanne hii kugeuka huzuni.

Msanii huyo amepatwa na msiba wa ndugu yake wa kiume [binamu yake] Tavon Kaiseen Alleyne, 29, ambaye amefariki dunia Jana baada ya kupigwa risasi katika maeneo ya St Michaels, Barbudos.

Tukio hilo limetokea baada ya kupita saa moja walipoachana ambapo Rihanna na Tavon walikuwa wakisherehekea pamoja sikukuu hiyo.

Riri ameonyesha kuumizwa sana na tukio hilo, kupitia mtandao wake wa Instagram ameandika ujumbe unaosomeka, “RIP cousin… can’t believe it was just last night that I held you in my arms! never thought that would be the last time I felt the warmth in your body!!! Love you always man! 😢🙏🏿❤ #endgunviolence.”

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mwanamke ashangazwa na bili ya umeme ya dola bilioni 284
Lulu Diva na Wizkid wanatarajia kuachia kolabo yao mwakani.

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise