Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Serikali haitawavumilia wenye viwanda wanaotumia nguvu za fedha kuharibu…

  • November 15, 2017

Serikali imesema haitawavumilia wenye viwanda wanaotumia nguvu za fedha kuharibu mazingira.

Kauli hiyo imetolewa bungeni mjini DODOMA na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais -Muungano na Mazingira KANGI LUGOLA akisema hatua hiyo ni kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Alikua akijibu swali la mbunge wa viti maalum mkoa wa TANGA, AMINA MOLENI aliyetaka kujua namna serikali itakavyodhibiti ujenzi wa viwanda usiathiri mabadiliko ya tabia ya nchi.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Vikundi vya ulinzi shirikishi na polisi wasaidia kurejesha Amani Manispaa ya Tabora.
TABORA: Wananchi Wilayani Igunga waupongeza mfuko wa Bima ya Afya NHIF.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise