Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Serikali ya KOREA KASKAZINI imeutaja mkataba wa kijeshi kati…

  • October 3, 2017
Moja ya kombora la Korea Kaskazini.

Gazeti la chama tawala nchini KOREA KASKAZINI limeandika kuwa, mkataba huo wa kijeshi ni njama ya wazi ya MAREKANI na mshirika wake KOREA KUSINI kwa ajili ya kufanikisha ndoto zao za kutaka kuishambulia ardhi ya nchi hiyo.

Gazeti hilo limeongeza kuwa,mkataba huo kati ya KOREA KUSINI na MAREKANI ulifikiwa kupitia ujeuri na uhasama wa MAREKANI kwa ajili ya kuanzisha vita dhidi ya KOREA na kwamba unatakiwa uvunjwe mara moja kabla ya kupita wakati.

Jeshi la marekani likiwa na Jeshi la Korea Kusini.

Limefafanua kuwa mkataba huo ndiyo msingi wa mazoezi ya kijeshi ya pamoja kati ya MAREKANI na KOREA KUSINI na kadhalika uwekaji wa vifaa vya kisasa vya kijeshi vya MAREKANI ndani ya ardhi ya KOREA KUSINI.

Kwa mujibu wa mkataba huo,kila nchi kati ya nchi hizo mbili inatakiwa kumsaidia kijeshi mwenzake wakati anaposhambuliwa na adui na ni kutokana na mkataba huo, ndipo MAREKANI ikatuma askari wake wengi nchini KOREA KUSINI.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mkuu wa Mkoa wa Tabora aagiza makampuni ya uzalishaji,usambazaji na ununuzi wa pamba mkoani TABORA kuhakikisha yanatoa mbegu na dawa bora.
Serikali ya Kijiji cha Ntalikwa yatunga sheria ndogondogo za kuwachukulia hatua wananchi watakaoshindwa kushiriki shughuli za maendeleo na kutokuhudhuria mikutano ya kijiji.

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Guardiola alinichukulia kama adui na…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise