Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Serikali yatakiwa kuweka kukabiliana na ajali za barabarani.

  • May 11, 2018

Serikali imetakiwa kuweka mipango mikakati ili kukabiliana na ajali zinazotokana na uzembe wa madereva na kusababisha vifo visivyo vya lazima.

Kauli hiyo imetolewa bungeni jijini DODOMA na Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano ELIAS KWANDIKWA akisema tayari serikali imeishaanza kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na kurekebisha barabara korofi.

Akiuliza swali la msingi,mbunge wa jimbo la VUNJO,JAMES MBATIA alitaka kujua ni lini serika itatatua tatizo la uzembe wa madereva wanaosababisha vifo vya watu wengi nchini.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano amewataka madereva wote nchini kuchukua tahadhari barabarani ili kuweza kuepukana na ajali zisizo za lazima.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali kufikisha umeme kwa Vijiji vilivyokusudiwa.
Anusurika kifo baada ya kumbaka mwanafunzi

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise