Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

SERIKALI yaweka mikakati kuwawezesha wahitimu wa ngazi za Elimu…

  • November 7, 2017November 7, 2017

Serikali imesema imeweka mikakati mbalimbali itakayowawezesha vijana wahitimu wa ngazi mbalimbali za elimu kuweza kujiajiri wenyewe.

Akibu swali bungeni mjini DODOMA,Naibu Waziri  wa Kazi,Ajira na Vijana,ANTONY MAVUNDE amesema baadhi ya mikakati inayotekelezwa mahsusi  kwa ajili ya vijana ni mradi wa kukuza ujuzi nchini unaopatikana katika mfumo usio rasimi na kurasimisha kwa kutoa mafunzo ya muda mfupi.

Naye Mbunge wa viti maalumu AIDA KENANI ameuliza swali la nyongeza akitaka kujua kama serikali ya awamu ya tano imepunguza wafanyakazi katika kada mbalimbali kwa kigezo cha kutokuwa na sifa na lini serikali itatoa ajira kwa kuwapa kipaumbele vijana nchini ambao kwa sasa wapo mitaani kwa ukosefu  wa ajira.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Jamii mkoani TABORA imetakiwa kujitoa kwa hali na mali kushiriki katika kuboresha elimu.
Magufuli: Tanzania sio shamba la kuchungia mifugo wa taifa jirani.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise