Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

TABORA: Jamii na wadau mbalimbali wahimizwa kuwaunga mkono watu…

  • March 9, 2018

Jamii na wadau mbalimbali mkoani TABORA wamehimizwa kuwaunga mkono watu wenye ulemavu kwa kuwapa nyenzo mbalimbali zitakazowawezesha kujiajiri wenyewe na kuondokana na tabia ya kuwa ombaomba.

Mmoja wa walemavu wa macho ambaye ni fundi seremala katika manispaa ya TABORA,HASSAN ATHUMAN amesema ameamua kufanya kazi hiyo kutokana na uzoefu lakini wakati umefika sasa kwa jamii na wadau kuwasaidia watu wenye ulemavu.

Amewataka watu wenye ulemavu kuacha kubweteka na badala yake waanzishe miradi mbalimbali kwa kujiajiri wenyewe kwa sababu serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Daktari JOHN POMBE MAGUFULI imeweka mazingira mazuri kwa watu wenye ulemavu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Trump akubali mualiko wa kukutana na Kim Jong Un
Wanawake DRC wanapigania haki zao kumiliki ardhi

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise