Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

TABORA: Jeshi la Polisi lakabidhiwa vifaa vya mawasiliano na…

  • March 2, 2018

Jeshi la polisi mkoani TABORA limekabidhiwa vifaa vya kisasa vya mawasiliano vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 47 kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi-UNHCR kwa ajili ya kumairisha mtandano wake wa Teknolojia ya Mawasiliano-TEHEMA.

Akikabidhi vifaa hivyo,kwa Kamanda wa polisi mkoa wa TABORA, Mwakilishi wa UNHCR wilaya ya MPANDA,AGNES KANYONYI anataja vifaa hivyo vitakavyosaidia jeshi la polisi kuboresha mawasiliano kati ya wilaya ya KALIUA na polisi mkoa wa TABORA katika kukabiliana na uhalifu mkoani TABORA.

Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo,Kamanda wa polisi mkoa wa TABORA,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa polisi WILBROAD MUTAFUNGWA licha ya kulishukuru shirika la UNHCR kwa msaada huo amesema vifaa hivyo  vimetolewa kwa muda muafaka kusaidia kupambana na vitendo vya uhalifu.

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi pia limelikabidhi jeshi la polisi nyumba za askari huko ULYANKULU zenye thamani ya shilingi milioni 174 na kituo cha polisi cha daraja C ULYANKULU,wilayani KALIUA kilichojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 181.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Walimu watakiwa kuongeza juhudi katika ufundishaji ili kuongeza ufaulu.
Rwanda yatetea uamuzi wa kuyafungia makanisa 714 na Msikiti mmoja.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise