Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Mkurugenzi Manispaa ya Tabora atakiwa kuyatatua matatizo ya…

  • November 8, 2017

Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya TABORA limemwagiza mkurugenzi wa Manispaa hiyo kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi yanayowasilishwa na madiwani badala ya kuyaacha kama yalivyo.

Akitoa agizo hilo katika kikao cha kawaida cha baraza la madiwani kwa niaba ya madiwani wenzake,Diwani wa kata ya NDEVELWA,SELEMAN MAGANGA amesema wamekuwa wakieleza matatizo ya wananchi,lakini Mkurugenzi na watendaji wake hawayatafutii ufumbuzi matatizo hayo.

Naye Diwani wa kata ya TAMBUKARELI,ZINDUNA KISAMBA amemwomba Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini-TARURA kuwajengea mifereji ya kupitishia maji ya mvua katika kata ya TAMBUKARELI kwa sababu kipindi cha masika kimeanza na hivyo maji yanaweza kuingia katika makazi ya wananchi.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Ashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa la nne.
Trump na Xi waanza mazungumzo baada ya makaribisho ya kifahari

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise