Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: SUPPHIRE CUP, Leo IKONOLA inacheza dhidi ya NSAGUZI…

  • November 24, 2017

Timu za soka za IKONOLA na NSAGUZI FC kutoka wilayani UYUI zinatarajia kukutana muda mfupi ujao katika fainali ya mashindano ya SUPPHIRE CUP mchezo utakaofanyika katika uwanja wa shule ya msingi ILALWANSIMBA.

NSAGUZI wamefikia hatua hiyo baada ya kuwatoa KIDATU FC katika mchezo wa nusu fainali wakati IKONOLA wao walitinga hatua hiyo baada ya kuwafunga wenyeji wa mashindano hayo ILALWASIMBA.

Mshindi wa mchezo huo ataondoka na kitita cha shilingi laki mbili na mchezo huo utatangazwa moja kwa moja na kituo hiki cha CG FM

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Ndanda FC kumenyana na Njombe FC leo katika kuendeleza mwendelezo wa ligi kuu Tanzania Bara.
Auawa kwa kukatwa shingoni na mwenzake chanzo kikiwa ni ulevi uliopitiliza.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise