Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Vikundi vya ulinzi shirikishi na polisi wasaidia kurejesha…

  • November 15, 2017

Doria zinazoendeshwa na jeshi la polisi na vikundi vya ulinzi shirikishi zimesaidia kupunguza vitendo vya uhalifu katika kata ya KIDONGO CHEKUNDU,Manispaa ya TABORA, hali iliyorejesha amani kwa wananchi.

Baadhi ya wakazi wa kata hiyo JOHN JOHN na ZENA ISMAIL wamesema kufuatia doria hizo kwa sasa wanaekeleza kazi zao za maendeleo kwa bidii na kwamba baadhi ya vijana wahalifu katika kata hiyo wamekamatwa.

Naye Diwani wa kata ya KIDONGO CHEKUNDU,IDD MSABAHA amesema kutokana na kuimarika kwa usalama katani hapo sasa eneo hilo ni salama kuishi tofauti na ilivyokuwa hapo awali.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Magufuli aagiza kubomolewa kwa jengo la shirika la kuzalisha Umeme, Tanesco.
Serikali haitawavumilia wenye viwanda wanaotumia nguvu za fedha kuharibu mazingira.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise