Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Wadau wa Elimu Manispaa ya TABORA watakiwa kushirikiana…

  • November 14, 2017November 14, 2017

Wadau wa elimu katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA wametakiwa kushirikiana kutatua tatizo la upungufu wa vyumba vya  madarasa unaozikabili shule za msingi na kusababisha msongamano kwa wanafunzi.

Afisa Elimu Msingi Manispaaa ya TABORA,Mwalimu FUE THOMAS amesema shule za msingi zina upungufu  wa vyumba vya madarasa 710 kati ya vyumba 1,322 vinavyohitajika.

Miongoni mwa shule zenye upungufu wa vyumba vya madarasa ni pamoja na shule za msingi za MAJENGO na MWINYI ambazo wanafunzi wake wanalazimika kusoma kwa awamu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Tetemeko nchini Iran na Iraq lawaua zaidi ya watu 100.
TABORA: Waandishi watakiwa kufika vijijini badala ya kujikita mijini zaidi.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise