Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Wanafunzi wenye ulemavu wa macho na Ngozi katika…

  • November 7, 2017
Wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi na macho watakiwa kusoma kwa bidii kufikia malengo yao.

Wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi -Albino na wenye ulemavu wa macho  katika shule ya sekondari TABORA WASICHANA wamehimizwa kusoma kwa bidii ili kufikia malengo yao na kuisaidia jamii.

Mwenyekiti wa asasi isiyo ya kiserikali ya AFRICAN GOLDEN GIRLS ya DAR ES SALAAM inayojishughulisha na kusaidia vijana wa kike,ANNA JONALEMA ametoa rai hiyo wakati wa kuwakabidhi zawadi mbalimbali wanafunzi hao.

Amesema vijana hao wanahitaji hamasa ili kuongeza kasi ya kujifunza.

Mkuu wa kitengo cha elimu maalumu,Mwalimu STEVEN PIUS na Mwalimu AHMAD ISSA wameipongeza na kuishukuru asasi ya  AFRICAN GOLDEN GIRLS kwa kuwatembelea na kuwapatia wanafunzi zawadi na kusema hali hiyo inaongeza ari na motisha ya wanafunzi hao kujifunza.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Magufuli: Tanzania sio shamba la kuchungia mifugo wa taifa jirani.
Donald Trump amuonya Kim Jong-Un moja kwa moja.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise