Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

TABORA: Wanakijiji wajiwekea sheria za kufanya Usafi.

  • January 4, 2018

Mwenyekiti wa mtaa wa MAKUNGU kata ya CHEMCHEM Manispaa ya TABORA KISUZI MSWANYAMA amesema wamejiwekea sheria ambazo zimesaidia kufukuliwa kwa mtaro wa barabara ya SIKONGE.

MSWANYAMA amesema anaendelea kuwahamaisha wananchi wa mtaa huo kuhakikisha kwamba kufikia Januari 16  mazingira yanakuwa safi.

HEMED KAMULIKA ni mkazi wa mtaa wa MAKUNGU mara nyingi hupenda kutumia muda wake kwa ajili ya kusafisha mazingira kama moja ya majukumu yake.

Naye JULIANA WILLFRED mwanamke mwenye familia anasema hupenda kusafisha mazingira kila anapoona yamechafuka

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa BARUTI kata ya CHEMCHEM FAUSTUS CHOMA amesema mtaa wake una mitaro mitatu lakini wanakabiliwa na changamoto kukosa mkondo wa maji licha ya kusafisha mitaro.

Ameongeza kuwa ili kukabiliana na changamoto hiyo wanaomba wapatiwe makaravati ili washirikiane na wananchi kuendelea kusafisha mitaro.

Barabara ya Madaraka ni barabara kuu inayopakana na mitaa mingi ya kata za Mwinyi na Chemchem IKIWEMO MAKUNGU,KALAMATA,BARUTI,KWIHARA na soko katika Manispaa ya TABORA.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

WATANZANIA wametakiwa kuiombea serikali.
TABORA: Kesi za ukatili wa kijinsia zimeanza kufanyiwa kazi.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise