Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TABORA: Wananchi waonywa kutoendelea na ujenzi bila kufuata taratibu…

  • November 1, 2017

Wananchi katika Halmashauri ya Manispaa ya TABORA wameonywa kutoendelea na ujenzi bila kufuata taratibu na sheria za uendelezaji wa miji ili kuepuka kubomolewa nyumba zao.

Mhandisi wa Ujenzi wa Manispaa ya TABORA,MOHAMED ALMAS amesema kabla ya wananchi kuanza kujenga lazima kuwa na kibali cha ujenzi kisha kufuata maelekezo kutoka manispaa.

Mhandisi ALMASI ameongeza kuwa wananchi ambao wamejenga bila kufuata utaratibu na sheria kuhusu ujenzi wanatakiwa kwenda manispaa kupewa maelekezo na ambao wamejenga katika viwanja ambavyo siyo vya na maeneo ya wazi watabomolewa.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali mkoani TABORA imesema itahakikisha inaimarisha mfumo mzima wa elimu ili mkoa kuendelea kupiga hatua katika sekta ya elimu.
TABORA: Manispaa ya TABORA kwa kushirikiana na wananchi wa kijiji hicho wameanza hatua za awali za ujenzi wa nyumba za walimu

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise