Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

TABORA: Wananchi washauriwa kutumia maji safi na salama ili…

  • December 14, 2017

Wananchi wa mkoa wa TABOLRA wameshauriwa kutumia maji safi na salama yaliyochemshwa,kuchunjwa na kuhifadhiwa kwenye chombo safi ili kuepukana na magonjwa ya matumbo.

Daktari wa wanawake kitengo cha afya ya uzazi na vizazi katika hospitali ya mkoa- KITETE,Daktari MNUBI BAGUMA amesema kuchemsha maji ya kunywa ni muhimu ili kuua bakteria wanaoishi kwenye maji na kusababisha homa ya matumbo, kuharisha na kutapika.

Daktari BAGUMA amesema wananchi wengi hasa wanaoishi vijijini hukosa maji safi na salama na kutumia maji kuyachemsha bila kujua madhara yake na wanapougua wanatumia gharama kubwa kujitibu.

Mmoja kati ya mwananchi anayeishi kijijini anayetumia maji ya visima,EMMANUEL ALI anasema analazimika kunywa maji machafu kutokana na uhaba wa maji katika eneo analoishi.

Kila mwaka TANZANIA huungana na nchi nyingine duniani kuhamasisha jamii kuchemsha maji ya kunywa ili kujikinga na magonjwa ya homa ya matumbo.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Agizo la Rais Daktari JOHN POMBE MAGUFULI kuhusu wasanii wa kike kuvaa nguo za heshima laanza kufanyiwa kazi.
Sherehe ya kuwaaga wanajeshi wa Tanzania waliouawa DRC yafanyika Dar es Salaam

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise