Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Entertainment

The Story of Adisson yaharibu biashara ya Drake na…

  • May 31, 2018

Ngoma mpya ya The Story of Adidon ya Pusha-T huenda ikawa imemuumiza zaidi Drake na kumuharibia dili lake nono.

Dili hilo tena na kampuni yake mpya ya Adidas ambayo amedaiwa kusaini nayo mkataba baada ya kuachana na Jordan.

Inadaiwa kuwa “Adidon” ni jina la brand ya viatu na sweatsuits mpya za Drake ambazo zimetokana na jina la Adonis ambalo ni jina la mtoto wa Drake.

 the story of adidon
Pusha T (kushoto) na Drake (Kulia)

Wakati huo huo imeelezwa kuwa Imeripotiwa kuwa Drake alikuwa amepanga kumtangaza mtoto wake huyo kwenye dili hilo na Adidas. Hata hivyo Pusha anasema Drizzy anataka kumtumia mtoto wake ili auze bidhaa zake kwa sababu alimtelekezamtoto huyo siku nyingi.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Watu 10 wachinjwa Msumbiji
Serikali kuanza na Mkoa wa Dodoma kufanya tafiti kuongezeka kwa maambukizi ya Ukimwi

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
Nicki Minaj kuachia albamu yake…
Sababu za Alikiba kuitosa kolabo…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise