Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Tiwa Savage aachia mixtape yake inayokwenda kwa jina la…

  • September 22, 2017

 

Mixtape hiyo aliyoitoa leo inajumla ya ngoma sita itauza kiasi cha dola 5.94 sawa na kiasi cha shilingi 13,327.53 za kitanzania na ngoma kama ‘Ma Lo’ aliyomshirikisha Wizkid na Spellz pamoja na ‘All Over’ zitapatika humo, ngoma zingine zitakazopatikana katika albamu ni kama vile Sugarcane iliyobeba jina la albamu yenyewe, me and you pamoja na hold me down.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Upatikanaji wa maji katika mji wa TABORA umepungua kutoka mita za ujazo milioni 17 hadi milioni 10 kwa sasa.
Mamlaka ya Mapato TANZANIA –TRA- mkoa wa TABORA inakusudia kukusanya shilingi Bilioni 25 katika mwaka huu wa fedha 2017-2018.

Related articles

Mashabiki wa klabu ya YANGA…
Lagos, NIGERIA: Yemi Alade na…
STEPH CURRY aiongoza Golden State…
ShiiKANE Diamond alistahili tuzo
The Story of Adisson yaharibu…
Nicki Minaj kuachia albamu yake…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise