Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

TRA mkoa wa TABORA imewataka wajasiriamali kusajili biashara zao…

  • September 27, 2017September 27, 2017

Mamlaka ya Mapato nchini -TRA mkoa wa TABORA imewataka wajasiriamali kusajili biashara zao ili kuondoa usumbufu unaoweza kujitokeza wakati wa ukaguzi.

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Kodi wa TRA mkoa wa TABORA,Bwana DAUD DOS SANTOS amesema wajasiriamali wenye biashara  wanatakiwa kujisajili ili kutambua biashara zao kwa urahisi.

Amesema wajasiriamali wamekuwa wakishindwa kusajili biashara zao kutokana na kudai kuwa namba ya utambulisho wanazilipia jambo ambalo amesema wafanyabiashara wote wanapewa namba hizo bure.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Jamii mkoani TABORA imetakiwa kujitoa kuwasaidia watu wasiojiweza kwa kuwapa mahitaji mbalimbali.
CHAD yamkosoa Rais DONALD TRUMP wa Marekani.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise