Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Umuhimu wa masomo ya ziada kwa Wanafunzi.

  • January 2, 2018

Masomo ya ziada yana umuhimu kwa wanafunzi kwa sababu wanapata muda wa kurudia walichofundishwa shuleni na kukielewa kwa undani zaidi.

Mwalimu mkuu wa shule ya msingi MIHAYO katika Halmashauri ya Manispaa ya TABORA,KASHINDE FAUSTINE amesema wazazi wanatakiwa kujitahidi ili watoto wao wahudhurie masomo ya ziada mara baada ya muda wa masomo wa kawaida ili kuwaongezea ufaulu.

Amewashauri wazazi na walezi mjini TABORA kuwa na mwamko kielimu kwa watoto ili kuwajengea uwezo wa kupenda shule na kuhudhuria masomo bila kukosa.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Museveni aidhinisha sheria kuondoa kikomo cha umri wa rais Uganda
Jumla ya watoto KUMI NA MMOJA wamezaliwa Siku ya Mwaka Mpya.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise