Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Uzalishaji wa zao la Nazi washuka Zanzibar.

  • April 26, 2018

Uzalishaji wa zao la nazi ZANZIBAR ni mdogo kutokana na ujenzi wa makazi ya watu katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kilimo cha minazi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko,JUMA ALI JUMA amesema uvunaji wa nazi ZANZIBAR ni mdogo licha ya kuwepo kwa mahitaji makubwa ya matumizi kwa wananchi.

Katibu Mkuu huyo amefafanua kuwa upungufu wa zao la nazi huko ZANZIBAR ulianza mwaka 1970 na hadi sasa mahitaji ya nazi bado hayajafikiwa.

Ameongeza kwamba upo umuhimu wa kuzalisha nazi ili kupatikana malighafi kwa matumizi ya ndani ya nyumbani na kwenye viwanda vya kutengenezea sabuni nchini.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Wananchi wahimizwa kushiriki kikamilifu maadhimisho ya Mei Mosi.
Serengeti Boys wa Tanzania watwaa ubingwa Cecafa U17

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise