Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Viongozi 12 kukutana ili kujadili migogoro inayoendelea Afrika.

  • October 19, 2017
Viongozi wa bara la Afrika katika mkutano wa awali nchini Ethiopia.

Viongozi kutoka mataifa 12 ya bara Afrika wanatarajiwa kukutana katika mji mkuu wa Congo Brazzaville kwa mkutano wa siku mbili utakaoangazia maswala tata yanayoligubika bara hili.

Mkutano huo wa kimataifa katika eneo la maziwa makuu utazungumzia migogoro kadhaa ikiwemo ile katika taifa la jamhuri ya Afrika ya kati ,Sudan Kusini, Burundi na jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo DRC .

Muhariri wa BBC barani Afrika anasema kiwango kikubwa cha fedha , rasli mali na wataalam zimetumiwa bila mafanikio katika kutataua mizozo hapo awali.

Viongozi hao wa kisiasa kutoka Angola Burundi Jamhuri ya Afrika ya kati CAR ,Jamhuri ya Congo, Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo DRC , Kenya , Rwanda, Sudan , Sudan Kusini , Tanzania, Uganda na Zambia hawajakutana katika mkutano wa kiwango kama hicho tangu mwezi Juni 2016.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mamake mwanajeshi wa Marekani asema Trump hakuwa na huruma.
Lionel Messi alifunga bao lake la 100 barani Ulaya

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise