Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Vyandarua 28,200 vimetolewa kwa wanafunzi wa shule za msingi…

  • October 10, 2017
Chandarua.

Zaidi ya vyandarua 28,200 vimetolewa kwa wanafunzi wa shule za msingi 79 katika Halmashauri ya Manispaa ya TABORA ili kukabiliana na ugonjwa wa malaria.

Mratibu wa afya mashuleni wa Manispaa ya TABORA,FRANCIS WAWA amesema vyandarua hivyo vilianza kusambazwa mwezi uliopita.

Jamii imeaswa kutumia vizuri vyandarua hivyo kwa sababu lengo la serikali ni kupunguza athari za ugonjwa wa malaria.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Wanandoa mkoani TABORA wametakiwa kuheshimu ndoa zao na kuepuka migogoro kwa kufuata kanuni na taratibu za sheria za dini.
Wazazi na walezi wenye watoto wanaogua saratani wametakiwa kuwafikisha mapema katika vituo vya tiba ili wapate matibabu kwa wakati.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise