Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Wafanya Biashara soko la Kachoma watakiwa kulipia kodi za…

  • February 26, 2018

Halmashauri ya manispaa ya TABORA imewataka wafanyabiashara katika soko la KACHOMA kulipia kodi za pango la vibanda waendelee na biashara katika maeneo yao.

Mkurugenzi wa manispaa ya TABORA,BOSCO NDUNGURU amesema kodi ya pango ni shilingi elfu hamsini kwa mwezi lakini wafanyabiashara katika soko la KACHOMA hawajalipa na kulazimika kuwafungia vibanda vyao.

Amesema wafanyabiashara katika masoko mengine wamekwishalipa lakini wafanyabiashara wa soko la kachoma wamegoma na kwamba halmashauri inasimamia sheria mpaka fedha hizo zitakapolipwa.

Amesema kama wafanyabiashara hao hawatalipa kodi za pango,vibanda hivyo vitatolewa kwa wafanyabishara wengine.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Baraza la madiwani lawafukuza kazi watumishi wake watatu
Sugu apigwa miezi mitano jela

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise