Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Wajawazito washauriwa kuhudhuria klinik mara kwa mara.

  • January 18, 2018

Wanawake wajawazito wameshauriwa kuhudhuria kliniki mara kwa mara ili kama kuna tatizo tumboni liweze kupatiwa ufumbuzi mapema na kujiepusha kujifungua viumbe visivyokamilika.

Akizungumzia tukio la mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha MSWA,kata ya ISIKIZYA wilayani UYUI kujifungua yai siku chache zilizopita,Kaimu Mganga Mfawidhi wa zahanati ya ISIKIZYA,VICENT MGAYA amesema tukio hilo siyo la  kawaida na kama mwanamke huyo angehudhuria kliniki tatizo hilo lingegundulika mapema.

Kwa upande wake,mwanamke aliyejifungua Yai,MAGRETH SHIJA amekiri kutohudhuria kliniki na kwamba alikuwa na ujauzito wa miezi minane ndipo alipopata uchungu wa uzazi na kujifungua yai.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mgogoro wa ujenzi wa makao makuu ya wilaya ya TARIME watatuliwa.
Upashaji tohara wa wanawake: Daktari ataka ukeketaji uhalalishwe Kenya

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise