Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Walimu,wanafunzi na kamati za shule wilayani IGUNGA wametakiwa kushirikiana…

  • October 7, 2017
Wanafunzi Wakipanda Miti.

Walimu,wanafunzi na kamati za shule wilayani IGUNGA wametakiwa kushirikiana katika  kutunza miti inayopandwa shuleni.

Walimu,wanafunzi na kamati za shule wilayani IGUNGA wametakiwa kushirikiana katika  kutunza miti inayopandwa shuleni.

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Misitu wa Halmashauri ya wilaya ya IGUNGA,DHAHIR KITIA wakati wa ziara ya kujifunza jinsi ya upandaji miti kwa kuzingatia sheria.

Amesema kuwa mradi wa IGUNGA ECO VILLAGE umewashirika wazazi,wanafunzi na walimu na kufanikiwa kupanda miti ambayo mpaka sasa inaendelea kustawi vizuri.

Kwa upande wake,Afisa Msaidizi wa Masuala ya Mazingira kutoka katika Mradi wa IGUNGA ECO VILLAGE,JOSEPH MAFURU amesema wameweza kuitunza miti hiyo katika kijiji cha MWANG’HARANGA.

Baadhi ya walimu wa Mazingira katika ya shule za msingi ya Mtakatifu LEO,MWENGE na HANI HANI, Mwalimu TRASIUS SIMBA,FADHILI KITANGE na SCOLASTINA MATABO wamesema fursa ya kutembelea miradi ya IGUNGA ECO VILLAGE imewawezesha kutumia mbinu bora za upandaji miti.

Mradi wa IGUNGA ECO VILLAGE umetoa fursa ya kujifunza kwa vitendo kwa wanafunzi 26 wa shule za sekondari,msingi na walimu 13 wa mazingira wilayani IGUNGA.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali imeshauriwa kuangalia upya sheria ya elimu namba 25 ya mwaka 1978 kuhusu adhabu ya kufutwa shule kwa mwanafunzi asiyehudhuria shuleni kwa muda wa siku 90 mfululizo ili kukabiliana na tatizo la utoro kwa wanafunzi.
Wakulima wa tumbaku katika kijiji cha ILALWANSIMBA kata ya ISIKIZYA wilaya ya UYUI wamewaomba wataalamu kutengeneza mabani banifu ya majaribio kukaushi zao hilo ili kufahamu ubora wake.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise