Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Wananchi wa mkoa wa TABORA wametakiwa kutunza mazingira na…

  • September 27, 2017
Uandaaji wa miti kabla ya zoezi la upandaji miti kuanza.

Wananchi wa mkoa wa TABORA wametakiwa kutunza mazingira na kutumia njia mbadala za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Aggrey Mwanri akizungumza na wananchi wa Sikonge mara baada ya kuendesha zoezi la upandaji miti katika mitaa mbalimbali.

Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa TABORA,Bwana AGGREY MWANRY wakati akitembelea miradi ya kijiji cha ECO kilichoko kata ya MBUTU wilayani IGUNGA.

Akitoa maelezo kuhusu ujenzi wa tenki la maji la kijiji cha MWABAKIMA katika kata MBUTU,Meneja Mradi,Bi STELLAH THOMAS amesema mafundi wenye ujuzi walijenga tenki hilo na kusaidia shughuli za zahanati katika kijiji hicho.

 

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Wazazi wa Warmbier waeleza mateso yaliomkabili Korea kaskazini.
Jamii mkoani TABORA imetakiwa kujitoa kuwasaidia watu wasiojiweza kwa kuwapa mahitaji mbalimbali.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise