Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Wananchi wameeleza kuwa viwango vya rushwa vimepungua nchini.

  • November 23, 2017

Wananchi wameeleza kuwa viwango vya rushwa vimepungua nchini.

Utafiti wa Taasisi ya TWAWEZA inasema kuwa mwaka huu ni asilimia 85 ya wananchi walioripoti vitendo vya rushwa ikilinganishwa na mwaka 2014 ambapo asilimia 78 walisema viwango vya rushwa vilikuwa vikubwa kuliko miaka 10 iliyopita.
Wananchi pia wanaripoti kuwa uzoefu wao wa kuombwa rushwa umepungua katika sekta zote mwaka 2017 ukilinganisha na mwaka 2014.
Wananchi wanaripoti kuombwa rushwa na polisi kwa asilimia 39 wakati mwaka 2014 asilimia ilikuwa 60,Idara ya maji asilimia 18 tofauti na asilimia 32 ya mwaka 2014, idara ya ardhi mwaka huu waliombwa rushwa kwa asilimia 18 wakati mwaka 2014 ilikuwa asilimia 32.

Idara nyingine zilizotajwa na wananchi kuombwa rushwa ni Mamlaka ya Mapato TANZANIA-TRA,Afya  na Asasi za kiserikali.

Sekta pekee ambayo rushwa iliripotiwa kubaki vilevile ni sekta ya ajira ambapo asilimia 34 ya wananchi waliripoti kuombwa rushwa mwaka 2014 huku asilimia 36 wakiombwa rushwa mwaka 2017.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

TABORA: Wananchi mtaa wa KARIAKOO watakiwa kusitisha shughuli zozote za maendeleo kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege.
Wajawazito mkoani TABORA watakiwa kuwahi kliniki mara tu wanapokuwa katika hali hiyo kutambua ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise