Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya dampo ya KARIAKOO…

  • October 13, 2017October 13, 2017
Jalala likisafishwa

Wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya dampo ya KARIAKOO katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA wametakiwa kuacha kuchoma moto dampo hilo kwa lengo la kuokota vyuma au malighafi mbalimbali ili kuepuka madhara wanayoweza kupata.

Wito huo umetolewa na Afisa Afya Mkuu wa Manispaa ya TABORA,PASCHAL MATAGI akisema halmashauri imejipanga kujenga dampo la kisasa baada ya kutengewa maeneo mawili ya ujenzi wa dampo hilo.

Amewataka wananchi kuwa makini kwa sababu moshi wanaochoma unaanza kuwaathiri wao wenyewe sambamba na watoto kutokana na hewa wanayovuta.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Watu WATANO wamekufa kutokana na mvua zilizonyesha katika kata ya NANGA wilayani IGUNGA
Mwanasoka wa zamani GEORGE OPONG WEAH anaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa LIBERIA.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise