Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Wanawake wajawazito washauriwa kujua maendeleo ya ujauzito kutumia mashine…

  • October 3, 2017October 3, 2017
Machine ya Ultra Sound ikitumika kumpima mwanamke mjamzito kujua maendeleo ya mtoto.

Wanawake wajawazito mkoani TABORA wameshauriwa kupima angalau mara mbili kwa kutumia mashine ya ULTRASOUND ili waweze kujua maendeleo ya mtoto awapo tumboni.

Wito huo umetolewa na Daktari DEUSI KITAPONDYA wa Chuo Kikuu cha Sayansi  MUHIMBILI ambapo amesema kupima kwa kutumia mashine ya ULTRASOUND kuna umuhimu mkubwa hasa kwa wanawake wajawazito na watu wanaopata ajali.

Mashine ya ULTRA SOUND.

 

Kwa upande wao baadhi ya wananchi katika halmahsauri ya Manispaa ya TABORA,Bwana HAMISI WASAGA,JUMANNE HASSANI na ANGELINA ELIAS wamesema mashine ya ULTRASOUND inarahisisha huduma hospitalini,lakini wakalamikia madhara yatokanayo na mashine hizo.

Akijibu malalamiko hayo Daktari KITAPONYA amesema mashine ya ULTRASOND haina madhara yoyote na kusema hiyo ni imani potofu zilizopo kwenye jamii.

Wananchi wameshauriwa kuondokana na dhana potofu juu ya matumizi ya mashine ya ULTRASOUND na badala yake kupima kwa kutumia mashine hiyo kwa sababu haina madhara yeyote

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Serikali ya Kijiji cha Ntalikwa yatunga sheria ndogondogo za kuwachukulia hatua wananchi watakaoshindwa kushiriki shughuli za maendeleo na kutokuhudhuria mikutano ya kijiji.
Biashara ya BAJAJI yadorora TABORA.

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise