Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise

Watu walio na virusi vya Ebola Congo wameongezeka

  • May 18, 2018

Idadi ya watu waliothibitishwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola Jamhuri ya Demokrasi ya Congo imeongezeka hadi kufikia 14 Wizara ya afya imetangaza kesi nyingine 11 ambazo zimethibitishwa na kesi moja mpya inayohusiana na ugonjwa huo kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

Taarifa iliyotolewa siku ya Alhamisi kutoka wizara hiyo ilisema kuwa kesi zingine 11 mpya na kifo cha mtu mmoja zimeripotiwa katika mji wa Bikoro katika mkoa wa Equateur, mahali ambapo ugonjwa huo wa Ebola ulitangazwa kutokea May 8.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Makubaliano kuhusu nyuklia ya Iran yana kasoro.
OIC yakutana Istanbul kulaani mauaji ya Wapalestina

Related articles

Mabaki ya ndege iliotoweka na…
Refa Mkenya aliyeteuliwa na Fifa…
Rais Madagascar ateuwa waziri mkuu…
Bodi ya usimamizi wa shule…
Mchungaji auawa akiwabatiza waumini Ziwani
Volkano yasabisha vifo vya watu…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise