Skip to content
CGFM
  • Home
  • Listen Live
  • News
  • Presenters
  • Gallery
  • Advertise
Local

Waumini wa dini ya Kiislamu wametakiwa kufunga siku zote…

  • May 15, 2018

Waumini wa dini ya Kiislamu wametakiwa kufunga siku zote za Mwezi Mtukufu wa RAMADHANI kwa kuwani mwezi pekee ambao Mwenyezi Mungu anasamehe dhambi kwa waumini.

Wito huo umetolewa na Shekhe Mkuu wa wilaya ya TABORA,Shekhe RAMADHANI RASHID akisema kuwa Mwislamu atakayefunga na kuzingatia matakwa ya Mwenyezi Mungu katika Mfungo huu wa Mwezi Mtukufu wa RAMADHAN atasamehewa dhambi zake.

Amesema katika kipindi chote cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa RAMADHAN waislamu wanapaswa kuepuka matendo mabaya ukiwemo uongo kwa sababu ni dhambi kubwa kwa Mwenyezi Mungu.

Share this:

  • Click to share on Twitter (Opens in new window)
  • Click to share on Facebook (Opens in new window)
  • Click to share on Google+ (Opens in new window)

Related

Mwigizaji filamu Elizabeth Michael Lulu abadilishiwa kifungo na kuachiwa huru.
Vijana wametakiwa kutoogopa kwenda katika vituo na zahanati ambazo zinatoa huduma rafiki kwao

Related articles

Msanii Sam wa Ukweli ameaga…
Mazishi ya pacha Maria na…
Vladmir Putin aizuru Austria.
Jeshi la Zimamoto lakanusha madai…
TABORA: Biashara ya Magimbi yashamiri…
Serikali imetenga fedha kwa ajili…

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

On Air Now

Download CG Google App here

CLICK TO PLAY CG ONLINE TV

Advertise here

ABOUT US

CG FM RADIO is the radio station that based in Tabora – Tanzania that targets all age groups. Due to its moral observation and ethical programs, CG FM radio continues to have a lot of audience which makes us the best on western zone.

YOU ARE HOME

TWITTER

My Tweets

Menu

  • HOME
  • News
  • Listen Live
  • Advertise